swala la kunyoa ni nyeti na ndio maana kuna all sorts of KWA KINYOZI!
''kila kitu kwetu'' a reflection of my personal points of interests in day to day "Bongo"..karibu.
Dar es salaam sunset
Sunday, June 3, 2012
ndio bongo kama ilivyo kilasiku!
lunch a bit greasy kama kawa!
Hapa waungwana nasikia mateja walisepa na meli wakaacha nanga! |
Hapa gari imeondoka na kilakitu chake, injini tu iliwashinda ndio maana ushapewa onyo ''park at your own risk'' |
si unajua tena mambo ya distributor za Suzuki |
a classic datsun in a modern Rally! |
i love them classics |
ulinzi wa hali ya juu! |
kwanza gwaride! |
for your inspiration! |
Kariakoo..nguvukazi |
Kariakoo..the market! |
Subscribe to:
Posts (Atom)